Lakini jioni hii kupitia akaunti yake ya kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter Wayne Rooney alikanusha vikali taarifa za kutaka kuuzwa na akasema ni uongo unaosambazwa na vyombo vya habari huku akisisitiza ataendelea kubaki Old Trafford.
Thursday, August 30, 2012
Kauli ya leo Rooney: "Ni habari za kipuuzi mimi kuondoka Manchester United"
Kwa siku kadhaa sasa baada ya kuanzia
benchi kwenye mechi dhidi ya Fulham, vyombo vya habari nyingi dunaini
vimekuwa vikiripoti kwamba Mchezaji wa kimataifa wa England anayeichezea
klabu ya Manchester United - Wayne atauzwa hivi karibuni na kocha wake
Sir Alex Ferguson.
Lakini jioni hii kupitia akaunti yake ya kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter Wayne Rooney alikanusha vikali taarifa za kutaka kuuzwa na akasema ni uongo unaosambazwa na vyombo vya habari huku akisisitiza ataendelea kubaki Old Trafford.
Lakini jioni hii kupitia akaunti yake ya kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter Wayne Rooney alikanusha vikali taarifa za kutaka kuuzwa na akasema ni uongo unaosambazwa na vyombo vya habari huku akisisitiza ataendelea kubaki Old Trafford.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment