Real Madrid kutokuanza msimu vizuri imeendelea baada ya
mabingwa hao kupokea kipigo cha mabao 2 – 1 kutoka kwa Getafe kwenye LaLiga
jumapili na kuwaweka pointi 5 nyuma ya mahasimu waoBarcelona.
Vijana haowa Mourinho ambao walitoka sare ya mabao 1- 1
wikiendi iliyopita na Valencia, walionekana kutulia na kucheza soka safi mpaka
pale GonzaloHiguain alipopachika bao mnamodakika ya 27.
Dakika ya 8 baada ya mapumziko y kipindi cha kwanza, Juan
Valera aliunganisha mpira wavuni baada ya kupigwa kwa “free kick” safi sana.
Ikatoka kuwa chachu mpka kuwa mbaya zaidi pale “supersub”
Adrian Colunga alivyotoa pande kwa Abdelaziz Barrada na kuupeleka juumpira
uliomshinda goli kipa Iker Casillas kutokana na mpira ule kumzidi umbali wa
kwenda juu.
Lionel Messi aliiokoa timu yake ya Barcelona kwa
kuifungia magoli mawili mnamo kipindi
cha pili baada ya kupigwa goli moja lililodumu dakika 45 za kwanza ambapo
Osassuna waliongoza.
Barca wana pointi sita baada ya mechimbilina wakiushikilia
uskaniwa ligi hiyo ikiwa ni tofauti ya magoli na Rayo Vallecano ambao pia wana
pointi sita baada ya kuwafunga 2 – 1 Real Betis jana jumamosi.
No comments:
Post a Comment