Sunday, December 30, 2012

FA CUP RAUNDI ya 3: DIMBANI JANUARI 5!!

>>MECHI 4 TU KUKUTANISHA TIMU ZA LIGI KUU!!

FA_CUP-NEW_LOGO
MABINGWA WATETEZI wa FA CUP, Chelsea, wataanza utetezi wao wa FA CUP kwenye Raundi ya 3 kwa kucheza ugenini na Southampton hapo Januari 5 na hiyo ni Mechi moja kati ya 4 itakayozikutanisha Timu za Ligi Kuu England pekee.

Raundi ya 3 ya FA CUP ndiyo ambayo imejumuisha Timu toka Ligi Kuu England.
Mechi nyingine ambazo zitakutanisha Timu za Ligi Kuu England pekee ni zile za Manchester United kutua Upton Park kucheza na West Ham United, QPR kuikaribisha West Brom na Arsenal kusafiri kucheza na Swansea.

Timu nyingine vigogo wa Ligi Kuu, kama vile Mabingwa wa Ligi Manchester City, wao watacheza na Watford, Tottenham kucheza na Coventry.
Liverpool watakuwa ugenini kuivaa Mansfield.

RATIBA:
RAUNDI ya TATU: 

Jumamosi Januari 5
[SAA 9 Dak 45 Mchana]
Brighton v Newcastle

[SAA 12 Jioni]
Crystal Palace v Stoke
Tottenham v Coventry City
Wigan v Bournemouth
Fulham v Blackpool
Aston Villa v Ipswich
Charlton v Huddersfield
Barrow au Macclesfield v Cardiff
Barnsley v Burnley
Manchester City v Watford
Leicester v Burton
Millwall v Preston
Derby v Tranmere
Crawley v Reading
Aldershot v Rotherham
Middlesbrough v Hastings
Oxford v Sheffield United
Southampton v Chelsea
QPR v West Brom
Peterborough v Norwich
Bolton v Sunderland
Nottingham Forest v Oldham
Hull v Alfreton or Leyton Orient
Blackburn v Bristol City
Leeds v Birmingham
Southend v Brentford
Luton v Wolves
Sheffield Wednesday v MK Dons

[SAA 2 na Dak 15 Usiku]
West Ham v Manchester United

Jumapili Januari 6
Swansea v Arsenal [SAA 10 na Nusu Jioni]
Mansfield v Liverpool [SAA 1 Usiku]

Jumatatu Januari 7
Cheltenham v Everton [SAA 4 Dak 45 Usiku]

No comments:

Post a Comment