Jumamosi 29 Desemba 2012
Sunderland 1 Tottenham 2
Aston Villa 0 Wigan 3
Fulham 1 Swansea 2
Man United 2 West Brom 0
Norwich 3 Man City 4
Reading 1 West Ham 0
Stoke 3 Southampton 3
[SAA 2 na Nusu Usiku]
Arsenal v Newcastle
MANCHESTER UNITED 2 WEST BROM 0
Manchester United watauanza Mwaka mpya
2013 wakiwa kileleni mwa Ligi Kuu England wakiwa Pointi 7 mbele baada ya
kuifunga West Bromwich Albion Bao 2-0 Uwanjani Old Trafford.
Bao la kwanza la Man United ni la kujifunga mwenyewe Gareth McAuley akijaribu kuokoa krosi ya Ashley Young.
Bao la Pili kwa Man United lilifungwa
katika Dakika ya 90 na Robin van Persie, alietokea Benchi Kipindi cha
Pili kumbadili Shinji Kagawa aliekuwa akicheza Mechi yake ya kwanza
tangu Oktoba kufuatia kuuguza Goti lake.
VIKOSI:
Man United: De Gea, Smalling, Vidic, Evans, Evra, Carrick, Cleverley, Valencia, Kagawa, Young, Welbeck
Akiba: Lindegaard, Ferdinand, Giggs, Hernandez, van Persie, Scholes, Buttner.
West Brom: Foster, Jones, McAuley, Tamas, Ridgewell, Thorne, Brunt, Rosenberg, Dorrans, Odemwingie, Long
Akiba: Myhill, Morrison, El Ghanassy, Jara Reyes, Lukaku, Dawson, Fortune.
Refa: Jon Moss
STOKE 3 SOUTHAMPTON 3
Bao la Dakika ya 90 la Cameron Jerome limewapa Stoke City, waliokuwa wakicheza Mtu 10, sare ya Bao 3-3 na Southampton.
Southampton ndio walitangulia kufunga kwa Bao la Lambert lakini Stoke wakasawazisha kupitia Kenwyne Jones.
Southampton wakaenda mbele kwa Bao 3-1
kwa mabao ya Jay Rodriguez na lile la kujifunga mwenyewe Andy Wilkinson
kisha Stoke wakafunga Bao la pili kupitia Matthew Upson wakati Stoke
wakicheza Mtu 10 kufuatia Kiungo wao Steven Nzonzi kupewa Kadi Nyekundu.
Ndipo likaja Shuti la Mita 30 lililohakikisha Stoke City wakiendelea na Rekodi yao ya kutofungwa katika Mechi 17.
VIKOSI:
Stoke: Begovic, Shotton, Huth, Upson, Wilkinson, Kightly, Whelan, Nzonzi, Etherington, Walters, Jones
Akiba: Sorensen, Palacios, Owen, Adam, Whitehead, Crouch, Jerome.
Southampton: Kelvin Davis, Hooiveld, Yoshida, Fonte, Shaw, Puncheon, Schneiderlin, Cork, Rodriguez, Do Prado, Lambert
Akiba: Boruc, Steven Davis, Ramirez, Fox, Richardson, Mayuka, De Ridder.
Refa: Mark Clattenburg
READING 1 WEST HAM 0
Leo Reading wamepata ushindi wao wa pili Msimu huo kwa Bao la Dakika ya 5 la Pavel Pogrebnyak.
VIKOSI:
Reading: Federici, Gunter, Mariappa, Pearce, Harte, Leigertwood, Karacan, Kebe, Guthrie, McAnuff, Pogrebnyak
Akiba: Taylor, Le Fondre, Hunt, Morrison, Tabb, Robson-Kanu, Cummings.
West Ham: Jaaskelainen, Tomkins, Collins, Reid, O'Brien, Noble, O'Neil, Taylor, Nolan, Jarvis, Cole
Akiba: Spiegel, Collison, Maiga, Vaz Te, Demel, Diarra, Spence.
Refa: Michael Oliver
ASTON VILLA 0 WIGAN 3
Wigan Athletic leo wamejinasua toka zile
Timu 3 za mkiani na kupanda hadi nafasi ya 16 wakiwa juu ya Aston
Villa, Timu ambayo leo wameichapa 3-0, na kuwashusha hadi nafasi ya 17.
Bao za Wigan zilifungwa na Ivan Ramis, Emmerson Boyce na Arouna Kone.
VIKOSI:
Aston Villa: Guzan, Herd, Clark, Lichaj, Lowton, Ireland, Holman, Bannan, Bennett, Weimann, Benteke
Akiba: Given, El Ahmadi, Albrighton, Westwood, Bowery, Stevens, Carruthers.
Wigan: Al Habsi, Ramis, Caldwell, Figueroa, Boyce, McCarthy, Jones, Beausejour, Kone, Di Santo, Maloney
Akiba: Pollitt, Gomez, McManaman, McArthur, Boselli, Stam, Golobart.
Refa: Kevin Friend
FULHAM 1 SWANSEA 2
Wakiwa kwao Craven Cottage, Fulham
wamefungwa Bao 2-1 na Swansea City waliocheza bila ya Straika wao hatari
Michu na huu ni ushindi wao wa kwanza katika Mechi 5 za Ligi.
Mabao ya Swansea yalifungwa na Graham na De Guzman na la Fulham lilipachikwa na Ruiz.
VIKOSI:
Fulham: Stockdale, Riether, Hangeland, Hughes, Briggs, Dejagah, Sidwell, Karagounis, Frei, Ruiz, Berbatov
Akiba: Etheridge, Kelly, Riise, Senderos, Baird, Richardson, Rodallega.
Swansea: Tremmel, Rangel, Williams, Monk, Tiendalli, de Guzman, Agustien, Dyer, Hernandez, Routledge, Graham
Akiba: Vorm, Bartley, Britton, Shechter, Moore, Ki, Davies.
Refa: Andre Marriner
NORWICH 3 MANCHESTER CITY 4
Wakicheza Mtu 10 Uwanjani Carrow Road
kufuatia Kadi Nyekundu kwa Mchezaji wao Samir Nasri, Mabingwa watetezi
Manchester City walisimama kidete na kuibuka washindi kwa Bao 4-3 dhidi
ya Norwich City.
Man City walitangulia kwa Bao 2 mbele
ndani ya Dakika 4 za kwanza mfungaji akiwa Edin Dzeko lakini Norwich
wakapata Bao moja lililofungwa na Anthony Pilkington.
Licha ya kucheza Mtu 10 kufuatia
kutolewa Nasri, City walipiga Bao la 3 kupitia Sergio Aguero na Russel
Martin akaifungia Norwich Bao la pili na kuifanya Gemu iwe 3-2 lakini
shuti la Dzeko liligonga mwamba na kumbabatiza Kipa Mark Bunn na kuipa
City Bao la 4.
Bao la 3 kwa Norwich lilifungwa na Russell Martin.
VIKOSI:
Norwich: Bunn, Martin, Turner, Bassong, Garrido, Snodgrass, Tettey, Johnson, Pilkington, Hoolahan, Morison
Akiba: Rudd, Howson, Jackson, Elliott Bennett, Barnett, Ryan Bennett, Kane.
Man City: Hart, Zabaleta, Kompany, Nastasic, Clichy, Toure, Barry, Aguero, Silva, Nasri, Dzeko
Akiba: Pantilimon, Lescott, Milner, Sinclair, Javi Garcia, Toure, Tevez.
Refa: Mike Jones
SUNDERLAND 1 TOTTENHAM 2
Tottenham leo wameshinda Mechi yao ya 6
kati ya 8 kwenye Ligi walipotoka nyuma kwa Bao la Nahodha wa Sunderland,
John O’Shea, na kushinda Bao 2-1 kwa Bao za Carlos Cuellar kujifunga
mwenyewe na Winga Aaron Lennon kupiga Bao la pili na la ushindi.
VIKOSI:
Sunderland: Mignolet, Gardner, O'Shea, Cuellar, Kilgallon, Johnson, Larsson, Colback, McClean, Sessegnon, Fletcher
Akiba: Westwood, Campbell, Wickham, McFadden, Vaughan, Ji, Bramble.
Tottenham: Lloris, Walker, Dawson, Caulker, Naughton, Lennon, Sandro, Dembele, Bale, Adebayor, Defoe
Akiba: Friedel, Dempsey, Vertonghen, Huddlestone, Parker, Sigurdsson, Livermore.
Refa: Martin Atkinson
+++++++++++++++++++++++
RATIBA:
Jumapili 30 Desemba 2012
[SAA 10 na Nusu Jioni]
Everton v Chelsea
[SAA 1 Usiku]
QPR v Liverpool
Jumanne 1 Januari 2013
SAA 9 Dak 45 Mchana]
West Brom v Fulham
[SAA 12 Jioni]
Man City v Stoke
Swansea v Aston Villa
Tottenham v Reading
West Ham v Norwich
Wigan v Man United
[SAA 2 na Nusu Usiku]
Southampton v Arsenal
Jumatano 2 Januari 2013
[SAA 4 Dak 45 Usiku]
Chelsea v QPR
Liverpool v Sunderland
[SAA 5 Usiku]
Newcastle v Everton
No comments:
Post a Comment